15 Februari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jan - Februari - Mac | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | ||||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 1775 - Uchaguzi wa Papa Pius VI
Waliozaliwa [hariri]
- 1368 - Kaisari Sigismund wa Ujerumani
- 1622 - Moliere, mshairi kutoka Ufaransa
- 1845 - Elihu Root (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1912)
- 1861 - Charles Edouard Guillaume (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1920)
- 1873 - Hans von Euler-Chelpin (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1929)
- 1915 - Robert Hofstadter (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1961)
Waliofariki [hariri]
- 1145 - Papa Lucius II
- 1637 - Kaisari Ferdinand II wa Ujerumani
- 1857 - Mikhail Glinka, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 1959 - Owen Richardson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1928)
- 1965 - Nat King Cole, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1988 - Richard Feynman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1965)
- 1999 - Henry Kendall (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1990)