Kwinidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Kwinidi (500 hivi - 578 hivi) alikuwa askofu wa 8 wa Vaison-la-Romaine, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 556 [1].

Kabla ya hapo alikuwa mkaapweke na shemasi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.