11 Februari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jan - Februari - Mac | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | ||||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 1855 - Tewodros II alitangazwa kuwa mfalme mkuu wa Uhabeshi.
- 1929 - Mkataba wa Lateran kati ya serikali ya Italia na Papa kuhusu mamlaka juu ya Mji wa Vatikani
- 1979 - Mapinduzi ya Uajemi
Waliozaliwa [hariri]
- 1535 - Papa Gregori XIV
- 1979 - Brandy Norwood, mwimbaji kutoka Marekani
Waliofariki [hariri]
- 244 - Gordian III, Kaisari wa Dola la Roma
- 731 - Papa Gregori II
- 824 - Papa Paskali I
- 1973 - Johannes Hans Daniel Jensen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963)
- 1978 - Harry Martinson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1974)
- 1993 - Robert Holley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968
- 2012 - Whitney Houston, mwimbaji na mwigizaji filamu kutoka Marekani