1968
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | ►
◄◄ | ◄ | 1964 | 1965 | 1966 | 1967 | 1968 | 1969 | 1970 | 1971 | 1972 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1968 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 12 Machi - Visiwa vya Morisi vinapata uhuru kutoka Uingereza.
- 12 Oktoba - Nchi ya Guinea ya Ikweta inapata uhuru kutoka Hispania.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1968 MCMLXVIII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5728 – 5729 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1960 – 1961 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1417 ԹՎ ՌՆԺԷ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1388 – 1389 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1346 – 1347 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2023 – 2024 |
| - Shaka Samvat | 1890 – 1891 |
| - Kali Yuga | 5069 – 5070 |
| Kalenda ya Kichina | 4664 – 4665 丁未 – 戊申 |
- 19 Aprili - Mswati III, mfalme wa Uswazi
- 28 Mei - Kylie Minogue, mwimbaji na mwigizaji filamu kutoka Australia
- 5 Julai - George Boniface Simbachawene, mwanasiasa wa Tanzania
- 5 Agosti - Marine Le Pen, mwanasiasa wa Ufaransa
- 19 Oktoba - Fresh Jumbe, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 2 Desemba - Lucy Liu, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 18 Desemba - Casper Van Dien, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki [hariri]
- 21 Februari - Howard Walter Florey (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1945)
- 27 Machi - Yuri Gagarin (rubani Mrusi na mtu wa kwanza aliyefika katika anga la nje)
- 1 Aprili - Lev Landau (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1962)
- 4 Aprili - Martin Luther King, Jr., mchungaji na mwanaharakati kutoka Marekani, aliuawa kwa kupigwa risasi na adui wa imani yake.
- 1 Juni - Helen Keller, mwandishi asiyeona wala kusikia kutoka nchini Marekani
- 14 Juni - Salvatore Quasimodo (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1959)
- 7 Julai - Leo Sowerby (mtungaji muziki Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1946)
- 18 Julai - Corneille Heymans (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1938)
- 23 Julai - Henry Dale (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1936)
- 28 Julai - Otto Hahn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1944)
- 23 Septemba - Mtakatifu Pio wa Pietrelcina, mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo kutoka Italia
- 20 Oktoba - Archibald Jordan, mwandishi na mwanahistoria wa Afrika Kusini
- 30 Oktoba – Conrad Michael Richter, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1951
- 18 Desemba - Casper Van Dien, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 20 Desemba - John Steinbeck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1962)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: