Papa Gregori II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori II alikuwa papa kuanzia 19 Mei 715 hadi kifo] chake tarehe 11 Februari 731. Alimfuata Papa Konstantin akafuatwa na Papa Gregori III.
Anaheshimiwa kama mtakatifu katika tarehe tofauti za Februari.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Gregori II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |