Papa Paulo V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Paulo V (17 Septemba 1550 – 28 Januari 1621) alikuwa papa kuanzia 16 Mei 1605 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Camillo Borghese. Alimfuata Papa Leo XI akafuatwa na Papa Gregori XV.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Paulo V katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Paulo V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |