Papa Linus

Kutoka Wikipedia

Papa Linus
Papa Linus

Papa Linus alikuwa papa kuanzia takriban 67 hadi kifo chake takriban 79. Alimfuata Papa wa kwanza, Petro Mtakatifu. Sikukuu yake ni 23 Septemba.

[hariri] Viungo vya nje

Kuhusu Papa Linus katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Papa Linus" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Papa Linus kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi