Papa Linus

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Linus.

Papa Linus alikuwa Papa kuanzia takriban 68 hadi kifo chake takriban 79[1]. Alitokea mkoa wa Toscana, Italia[2].

Alimfuata Papa wa kwanza[3], Mtume Petro[4][5][6][7][8][9], akafuatwa na Papa Anacletus.

Ndiye aliyetajwa na Mtume Paulo katika Waraka wa pili kwa Timotheo, 4:21[10] kwamba alikuwa naye mwishoni mwa maisha yake[11].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na kutajwa katika Kanuni ya Kirumi.

Sikukuu yake ni tarehe 23 Septemba[12].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/71550
  3. J. N. D. Kelly, Oxford Dictionary of Popes, 2005, pp. 6–7.
  4. Irenaeus, Against Heresies, 3: 3.3
  5. "Post Petrum primus Ecclesiam Romanam tenuit Linus" (Chronicon, 14g (p. 267))
  6. Church History, 3.2
  7. Church Fathers: Homily 10 on Second Timothy (Chrysostom).
  8. The Chronography of 354 AD, Part 13: Bishops of Rome
  9. Liber Pontificalis, 2
  10. Kirsch, Johann Peter (1910). "Pope St. Linus". Catholic Encyclopedia 9. New York, New York, USA: Robert Appleton Company. 
  11. Irenaeus stated that this is the same Linus who became Bishop of Rome, and this conclusion is generally still accepted.
  12. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107: "At Rome, the commemoration of Saint Linus, Pope, to whom, as Saint Irenaeus narrates, the blessed Apostles entrusted the responsibility of the episcopate of the Church founded in the City, and whom the blessed Paul the Apostle mentions as a companion of his."

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Louise Ropes Loomis, The Book of Popes (Liber Pontificalis). Merchantville, NJ: Evolution Publishing. ISBN 1-889758-86-8 (Reprint of the 1916 edition. Stops with Pope Pelagius, 579–590. English translation with scholarly footnotes, and illustrations).
  • Catholic Encyclopedia, Volume IX. New York 1910, Robert Appleton Company. * Lightfoot, The Apostolic Fathers; St. Clement of Rome, I (London, 1890), uk. 201 n.k.;
  • Adolf von Harnack, Geschichte der Altchristlichen Literatur, II: Die Chronologie I (Leipzig, 1897), uk. 70.
  • Claudio Rendina, I Papi. Storia e segreti, Newton & Compton, Roma, 1983.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]