Papa Yohane IX

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane IX.

Papa Yohane IX, O.S.B. alikuwa Papa kuanzia Desemba 897 au Januari 898 hadi kifo chake mnamo Januari/Mei 900[1]. Alitokea Tivoli, Lazio, Italia[2].

Alimfuata Papa Theodori II akafuatwa na Papa Benedikto IV.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane IX kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.