Papa Yohane III

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane III.

Papa Yohane III alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Julai 561 hadi kifo chake tarehe 13 Julai 574[1]. Alitokea Roma, Italia[2], alipozaliwa kwa jina la Johannes Catelinus.

Alimfuata Papa Pelagio I akafuatwa na Papa Benedikto I.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.