Papa Leo XII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Leo XII (22 Agosti 1760 – 10 Februari 1829) alikuwa papa kuanzia 28 Septemba 1823 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Annibale Francesco Clemente Melchiore Girolamo Nicola della Genga. Alimfuata Papa Pius VII akafuatwa na Papa Pius VIII.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Leo XII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Leo XII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |