Papa Leo XII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Leo XII.

Papa Leo XII (22 Agosti 176010 Februari 1829) alikuwa Papa kuanzia tarehe 28 Septemba/5 Oktoba 1823 hadi kifo chake[1]. Alitokea Monticelli di Genga, Fabriano, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Annibale della Genga.

Alimfuata Papa Pius VII akafuatwa na Papa Pius VIII.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Leo XII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.