Papa Leo XII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Leo XII (22 Agosti, 1760 – 10 Februari, 1829) alikuwa papa kuanzia 28 Septemba, 1823 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Annibale Francesco Clemente Melchiore Girolamo Nicola della Genga. Alimfuata Papa Pius VII.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Leo XII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

