Papa Gregori XIV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori XIV (11 Februari, 1535 – 16 Oktoba, 1591) alikuwa papa kuanzia 5 Desemba, 1590 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Niccolò Sfondrati. Alimfuata Papa Urban VII.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Gregori XIV katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori XIV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |