Papa Gregori XIV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori XIV (11 Februari, 1535 – 16 Oktoba, 1591) alikuwa papa kuanzia 5 Desemba, 1590 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Niccolò Sfondrati. Alimfuata Papa Urban VII.
Papa Gregori XIV (11 Februari, 1535 – 16 Oktoba, 1591) alikuwa papa kuanzia 5 Desemba, 1590 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Niccolò Sfondrati. Alimfuata Papa Urban VII.