Papa Gregori XIV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori XIV.

Papa Gregori XIV (11 Februari 153516 Oktoba 1591) alikuwa Papa kuanzia tarehe 5/8 Desemba 1590 hadi kifo chake[1]. Alitokea Somma Lombarda, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Niccolò Sfondrati.

Alimfuata Papa Urbano VII akafuatwa na Papa Inosenti IX.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori XIV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.