Papa Gregori XIV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori XIV (11 Februari 1535 – 16 Oktoba 1591) alikuwa papa kuanzia 5 Desemba 1590 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Niccolò Sfondrati. Alimfuata Papa Urban VII akafuatwa na Papa Innocent IX.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Gregori XIV katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori XIV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |