Papa Nikolasi V

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Nikolasi V.

Papa Nikolasi V (15 Novemba 139724 Machi 1455) alikuwa Papa kuanzia tarehe 6/19 Machi 1447 hadi kifo chake[1]. Alitokea Sarzana, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Tommaso Parentucelli.

Alimfuata Papa Eugenio IV akafuatwa na Papa Kalisti III.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Nikolasi V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.