Papa Pius XII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius XII (2 Machi 1876 – 9 Oktoba 1958) alikuwa Papa kuanzia 2 Machi 1939 hadi kifo chake.
Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Eugenio Maria Guiseppe Giovanni Pacelli.
Alimfuata Papa Pius XI na kuvishwa taji 12 Machi 1939. Akafuatwa na Papa Paulo VI.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius XII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |