Papa Klementi X
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi X (13 Julai, 1590 – 22 Julai, 1676) alikuwa papa kuanzia 29 Aprili, 1670 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Emilio Bonaventura Altieri. Alimfuata Papa Klementi IX.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Klementi X katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi X kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
