Papa Yohane VII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane VII alikuwa papa kuanzia 1 Machi, 705 hadi kifo chake tarehe 18 Oktoba, 707. Alizaliwa katika nchi ya Ugiriki. Alimfuata Papa Yohane VI.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Yohane VII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

