Papa Yohane VII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Yohane VII
Papa Yohane VII

Papa Yohane VII alikuwa papa kuanzia 1 Machi, 705 hadi kifo chake tarehe 18 Oktoba, 707. Alizaliwa katika nchi ya Ugiriki. Alimfuata Papa Yohane VI.

[hariri] Viungo vya nje

Kuhusu Papa Yohane VII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Papa Yohane VII" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Papa Yohane VII kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi