Papa Klementi I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi I alikuwa papa kuanzia takriban 88 hadi kifo chake takriban 99. Alimfuata Papa Anacletus. Sikukuu yake ni 23 Novemba.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Klementi I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
