Papa Paulo VI
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Paulo VI (26 Septemba, 1897 – 6 Agosti, 1978) alikuwa papa kuanzia 21 Juni, 1963 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Battista Enrico Antonio Maria Montini. Alimfuata Papa Yohane XXIII.

