Papa Benedikto VIII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Benedikto VIII.

Papa Benedikto VIII alikuwa Papa kuanzia tarehe 18 Mei 1012 hadi kifo chake tarehe 9 Aprili 1024[1].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Theophylactus wa ukoo wa watawala wa Tusculum, Roma, Italia[2]. .

Alimfuata Papa Sergio IV akafuatwa na Papa Yohane XIX.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.