Papa Klementi VII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi VII (26 Mei 1478 – 25 Septemba 1534) alikuwa papa kuanzia 19 Novemba 1523 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giulio di Giuliano de' Medici. Alimfuata Papa Adrian VI akafuatwa na Papa Paulo III.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Klementi VII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |