Papa Konstantin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Constantine)
Papa Konstantino.

Papa Konstantin alikuwa Papa kuanzia tarehe 25 Machi 708 hadi kifo chake tarehe 9 Aprili 715[1]. Alitokea Syria[2].

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Constantinus.

Alimfuata Papa Sisinnio akafuatwa na Papa Gregori II.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Konstantin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.