Papa Adrian I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Adriano I)
Karolo Mkuu na Papa Adriano I.

Papa Adrian I alikuwa Papa kuanzia tarehe 1/9 Februari 772 hadi kifo chake tarehe 25 Desemba 795[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina la baba yake lilikuwa Theodorus.

Alimfuata Papa Stefano III akafuatwa na Papa Leo III.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Adrian I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.