Papa Adrian I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Karolo Mkuu na Papa Adrian I.
Papa Adrian I alikuwa papa kuanzia 9 Februari 772 hadi kifo chake tarehe 25 Desemba 795. Jina la baba yake lilikuwa Theodorus.
Alimfuata Papa Stefano III akafuatwa na Papa Leo III.
Viungo vya nje [hariri]
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Adrian I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |