Papa Julius I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Julius I.

Papa Julius I alikuwa Papa kuanzia tarehe 6 Februari 337 hadi kifo chake tarehe 12 Aprili 352[1]. Alitokea Roma, Italia.

Alimfuata Papa Marko akafuatwa na Papa Liberius.

Anajulikana hasa kwa juhudi zake za kumaliza vurugu zilizotokana na Uario akisimama upande wa Patriarki Atanasi wa Aleksandria katika sinodi maalumu ya mwaka 342 na akidai Kanisa la Roma lilitakiwa kushirikishwa kwanza [2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. Kirsch, Johann Peter. "Pope St. Julius I." The Catholic Encyclopedia Vol. 8. New York: Robert Appleton Company, 1910. 28 September 2017. "Can you be ignorant," writes Julius, "that this is the custom, that we should be written to first, so that from here what is just may be defined" (Epistle of Julius to Antioch, c. xxii).
  3. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Duff, Eamon. Saints and Sinners: A History of the Popes, Yale University Press, 2001, pp. 30–32. ISBN 0300091656

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Julius I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.