Papa Hilarius
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Hilarius alikuwa papa kuanzia 17 Novemba 461 hadi kifo chake tarehe 28 Februari 468. Alimfuata Papa Leo I akafuatwa na Papa Simplicio.
Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 17 Novemba au 28 Februari.
[hariri] Maandishi yake
- Opera Omnia katika Patrologia Latina iliyotolewa na Migne.
[hariri] Viungo vya nje
- Kuhusu Papa Hilarius katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
- Wace, Henry (1911). "Hilarius, bp. of Rome", Dictionary of Christian Biography and Literature to the End of the Sixth Century.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Hilarius kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |