Catholic Encyclopedia
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Catholic Encyclopedia, au Old Catholic Encyclopedia au Original Catholic Encyclopedia,[1] ni kamusi elezo ya Kiingereza kutoka Marekani ambayo inafafanua vidahizo kuhusu Kanisa Katoliki.
Gombo la kwanza lilitolewa mnamo Machi 1907. [2][3]. Toleo hili linapatikana katika intaneti kwa wasomaji wote.
Tanbihi [hariri]
- ↑ The Original Catholic Encyclopedia. Catholic Answers. Rudishwa juu ya 2011-07-21.
- ↑ Preface to the Catholic Encyclopedia
- ↑ Scan of "Preface". Catholic Answers. Rudishwa juu ya 6 Septemba 2010.
Viungo vya nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Wikisource has original text related to this article: |
- Catholic Encyclopedia at Catholic.com
- Catholic Encyclopedia on New Advent
- Catholic Encyclopedia on Catholicity
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |