Papa Paulo II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Paulo II (23 Februari, 1417 – 26 Julai, 1471) alikuwa papa kuanzia 30 Agosti, 1464 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pietro Barbo. Alimfuata Papa Pius II.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Paulo II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |