Papa Paulo II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Paulo II (23 Februari 1417 – 26 Julai 1471) alikuwa papa kuanzia 30 Agosti 1464 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pietro Barbo. Alimfuata Papa Pius II akafuatwa na Papa Sixtus IV.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Paulo II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Paulo II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |