Papa Benedikto VI

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Benedikto VI alikuwa papa kuanzia 19 Januari, 973 hadi kifo chake mwezi wa Julai au Agosti 974. Jina lake la kuzaliwa halijulikani. Alimfuata Papa Yohane XIII. Alilindwa hasa na Mfalme Mkuu Otto I wa Ujerumani. Otto alipofariki, wenyeji wa mji wa Roma walimfunga Benedikto VI na baada ya miezi michache walimuua.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Papa Benedikto VI" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Papa Benedikto VI kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi