Papa Klementi IV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Klementi IV
Papa Klementi IV

Papa Klementi IV (23 Novemba mwaka usiojulikana – 29 Novemba, 1268) alikuwa papa kuanzia 5 Februari, 1265 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gui Faucoi le Gros. Alimfuata Papa Urban IV.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Papa Klementi IV" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Papa Klementi IV kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi