Papa Klementi IV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi IV (23 Novemba mwaka usiojulikana – 29 Novemba 1268) alikuwa papa kuanzia 5 Februari 1265 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gui Faucoi le Gros.
Alimfuata Papa Urban IV akafuatwa na Papa Gregori X.
Viungo vya nje [hariri]
Kuhusu Papa Klementi IV katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |