Papa Klementi IV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi IV (23 Novemba mwaka usiojulikana – 29 Novemba, 1268) alikuwa papa kuanzia 5 Februari, 1265 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gui Faucoi le Gros. Alimfuata Papa Urban IV.

