Papa Klementi IV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi IV.

Papa Klementi IV (23 Novemba mwaka usiojulikana – 29 Novemba 1268) alikuwa Papa kuanzia tarehe 5/22 Februari 1265 hadi kifo chake[1]. Alitokea Saint-Gilles, Ufaransa[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gui Foulques.

Alimfuata Papa Urbano IV akafuatwa na Papa Gregori X.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.