Papa Yohane XII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane XII (takriban 937 – 14 Mei, 964) alikuwa papa kuanzia 16 Desemba, 955 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Octavian akiwa mjukuu wa Karolo Mkuu vizazi saba kutoka kwake.
Alimfuata Papa Agapeto II akafuatwa na Papa Benedikto V.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Yohane XII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane XII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |