Papa Pontian
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pontian (kwa Kilatini Pontianus) alikuwa papa kuanzia 21 Julai 230 hadi kifo chake tarehe 28 Septemba 235. Alimfuata Papa Urban I akafuatwa na Papa Anterus.
Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini, hasa tarehe 13 Agosti.[1]
Marejeo [hariri]
- ↑ Calendarium Romanum (Libreria Editrice Vaticana 1969), p. 146
Viungo vya nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pontian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
