Papa Pontian

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pontian

Papa Pontian (kwa Kilatini Pontianus; alifariki Oktoba 235) alikuwa Papa kuanzia tarehe 21 Julai 230 hadi tarehe 28 Septemba 235[1][2], alipojiuzulu ili kuwezesha uchaguzi wa mwandamizi wake akiwa amepelekwa uhamishoni katika kisiwa cha Sardinia pamoja na antipapa Hipoliti wa Roma[3]. Alitokea Roma, Italia.

Alimfuata Papa Urbano I akafuatwa na Papa Anterus.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini, hasa tarehe 13 Agosti, pamoja na Hipoliti.[4][5][6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. Kelly, J.N.D. (1986). The Oxford Dictionary of Popes. Oxford: Oxford University Press. p. 16. ISBN 978-0-19-213964-1.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  3. Fr. Paolo O. Pirlo, SHMI (1997). "Sts. Pontian & Hippolytus". My First Book of Saints. Sons of Holy Mary Immaculate – Quality Catholic Publications. pp. 179–180. ISBN 978-971-91595-4-4. 
  4. Calendarium Romanum (Libreria Editrice Vaticana 1969), p. 146
  5. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
  6. Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Pontian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.