Papa Klementi XIII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi XIII (7 Machi, 1693 – 2 Februari, 1769) alikuwa papa kuanzia 6 Julai, 1758 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Carlo della Torre Rezzonico. Alimfuata Papa Benedikt XIV.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Klementi XIII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi XIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |