6 Julai
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jun - Julai - Ago | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 1758 - Uchaguzi wa Papa Klementi XIII
- 1964 - Nchi ya Malawi inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 1975 - Visiwa vya Komori vinapata uhuru kutoka Ufaransa.
Waliozaliwa [hariri]
- 1859 - Verner von Heidenstam (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1916)
- 1903 - Hugo Theorell (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1955)
- 1907 - Frida Kahlo, mchoraji kutoka Mexiko
- 1937 – Bessie Head, mwandishi wa Afrika Kusini na Botswana
- 1946 - George W. Bush, Rais wa Marekani (2001-2009)
Waliofariki [hariri]
- 1535 - Mtakatifu Thomas More, mwanasheria kutoka Uingereza, aliuawa
- 1962 - William Faulkner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1949)
- 1971 - Louis Armstrong (mpuliza tarumbeta wa Jazz)
- 2005 - Claude Simon (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1985)