Papa Yohane V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane V alikuwa papa kuanzia mwezi wa Julai 685 hadi kifo chake tarehe 2 Agosti, 686.
Alimfuata Papa Benedikto II akafuatwa na Papa Konon.
Marejeo [hariri]
- Ekonomou, Andrew J. 2007. Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books.
Viungo vya nje [hariri]
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |