2 Agosti
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jul - Agosti - Sep | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 461 - Majorian, Kaisari wa Dola la Roma Magharibi, anajiuzulu.
- 1492 - Kristoforo Kolumbus anaanza safari yake ya kwanza ya kuvuka Atlantiki akiamini ya kwamba anaelekea Uhindi
Waliozaliwa [hariri]
Waliofariki [hariri]
- 257 - Papa Stefano I
- 640 - Papa Severino
- 686 - Papa Yohane V
- 1922 - Alexander Graham Bell (mgunduzi wa mawasiliano ya simu)
- 1923 - Warren G. Harding, Rais wa Marekani (1921-23)
- 1997 - Fela Kuti, mwanamuziki kutoka Nigeria