1941
Kutoka Wikipedia
| Miaka: | 1938 1939 1940 - 1941 - 1942 1943 1944 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 24 Mei - Bob Dylan, mwanamuziki wa Marekani
- 26 Juni - Omar Ali Juma, mwanasiasa kutoka Zanzibar
- 17 Agosti - Ibrahim Babangida, Rais wa Nigeria (1985-1993)
- 13 Oktoba - Paul Simon (mwanamuziki)
- 23 Novemba - Franco Nero, mwigizaji filamu kutoka Italia
[hariri] Waliofariki
- 4 Januari - Henri Bergson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1927)
- 21 Februari - Frederick Banting (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1923)
- 5 Machi - Ludwig Quidde (mwanasiasa Mjerumani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1927)
- 7 Agosti - Rabindranath Tagore (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1913)
- 14 Agosti - Maximillian Kolbe
- 14 Agosti - Paul Sabatier (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1912)
- 12 Septemba - Hans Spemann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1935)
- 18 Novemba - Walther Nernst (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1920)

