Dola la Roma Magharibi

Kutoka Wikipedia

Dola la Roma Magharibi ni sehemu ya Dola la Roma upande wa Magharibi iliyo na mji mkuu wa Roma. Kuanzia mwaka wa 285 kulikuwa na Makaisari wawili ili kurahisisha utawala wa dola iliyokuwa kubwa mno. Chini ya Konstantin Mkuu, mji wa Konstantinopoli pia ukawa mji mkuu. Baada ya kifo cha Theodosius Mkuu, kweli kulikuwa na madola mawili yenye miji mikuu miwili. Romulus Augustus alipoondoshwa madarakani mwaka wa 476, Dola la Roma Magharibi lilikwisha.

Eneo la Dola la Roma Magharibi mwaka wa 395
Eneo la Dola la Roma Magharibi mwaka wa 395
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Dola la Roma Magharibi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Dola la Roma Magharibi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi