Historia
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Historia ni somo kuhusu maisha ya binadamu na utamaduni wao wakati uliopita.
Mara nyingi neno hilo lina pia maana ya maarifa yoyote kuhusu wakati uliopita, yawe au yasiwe maarifa ya watu (kwa mfano "historia ya ulimwengu").
Historia ni hasa mfululizo wa habari za mambo yaliyotokea pamoja na sababu zake.
Binadamu anaziandika ili kuelewa maisha yake, yaani ametokea wapi, amepata mafanikio gani na matatizo gani.
Historia inatufundisha kuishi: kumbukumbu za mambo ya zamani (vita, uhuru, viongozi na mengineyo) zinatuwezesha kuendelea vizuri zaidi.
Wanahistoria wanatoa maarifa yao kutoka maandiko ya zamani, kutoka fasihi simulizi na kutoka akiolojia.
Kurasa zinazohusiana [hariri]
- Historia ya Afrika
- Historia ya Amerika
- Historia ya Asia
- Historia ya Australia
- Historia ya Ulaya
- Historia ya Wokovu
- Miaka
- Vita
| Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Historia kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |