Historia ya Kanisa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Historia ya Kanisa ni fani inahochunguza historia ya Ukristo na ya miundo yake mbalimbali tangu Kanisa lilipoanzishwa na Yesu Kristo katika karne ya 1 hadi leo.
Kwa kawaida historia hiyo inagawiwa katika hatua nne:
- kipindi cha Mitume wa Yesu na Mababu wa Kanisa (karne I-karne IX)
- Karne za kati (karne IX-karne XV)
- kipindi cha marekebisho (karne XVI-karne XVIII)
- kipindi cha sasa (karne XIX-karne XXI)