Sereno wa Marseille

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Sereno alivyochorwa.

Sereno wa Marseille (karne ya 6 - Vercelli, Italia, 601 hivi) alikuwa askofu wa 10 wa Marseille, katika Ufaransa wa leo, kuanzia mwaka 596 hivi hadi kifo chake[1].

Papa Gregori I alimuandikia barua nne zilizotufikia[2][3].

Alipokea kwa ukarimu Augustino wa Canterbury na wenzake waliotumwa na Papa huyo kuinjilisha Uingereza[4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Agosti[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.