1978
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | ►
◄◄ | ◄ | 1974 | 1975 | 1976 | 1977 | 1978 | 1979 | 1980 | 1981 | 1982 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1978 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 26 Agosti - Uchaguzi wa Papa Yohane Paulo I
- 16 Oktoba - Uchaguzi wa Papa Yohane Paulo II
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1978 MCMLXXVIII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5738 – 5739 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1970 – 1971 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1427 ԹՎ ՌՆԻԷ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1398 – 1399 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1356 – 1357 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2033 – 2034 |
| - Shaka Samvat | 1900 – 1901 |
| - Kali Yuga | 5079 – 5080 |
| Kalenda ya Kichina | 4674 – 4675 丁巳 – 戊午 |
- 4 Februari - Danna Garcia, mwigizaji filamu kutoka Kolombia
- 18 Machi - Halima James Mdee, mbunge Mtanzania
- 1 Mei - James Badge Dale, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 8 Mei - Baraka Makaba, mtayarishaji wa filamu kutoka Tanzania
- 14 Septemba - Silvia Navarro, mwigizaji filamu kutoka Mexiko
- 27 Oktoba - Mrisho Mpoto, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 2 Novemba - Noah Ngeny, mwanariadha kutoka nchini Kenya
Waliofariki [hariri]
- 11 Februari - Harry Martinson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1974)
- 6 Agosti - Papa Paulo VI
- 9 Agosti – James Gould Cozzens, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1949
- 18 Agosti - Jomo Kenyatta, Rais wa kwanza wa Kenya
- 26 Septemba - Karl Manne Siegbahn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1924)
- 28 Septemba - Papa Yohane Paulo I
- 11 Desemba - Vincent du Vigneaud (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1955)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: