1981
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 1977 | 1978 | 1979 | 1980 | 1981 | 1982 | 1983 | 1984 | 1985 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1981 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 21 Septemba - Nchi ya Belize inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1981 MCMLXXXI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5741 – 5742 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1973 – 1974 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1430 ԹՎ ՌՆԼ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1401 – 1403 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1359 – 1360 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2036 – 2037 |
| - Shaka Samvat | 1903 – 1904 |
| - Kali Yuga | 5082 – 5083 |
| Kalenda ya Kichina | 4677 – 4678 庚申 – 辛酉 |
- 1 Machi - Párvusz, msanii mchoraji kutoka Hungaria
- 15 Mei - Patrice Evra, mchezaji mpira wa Ufaransa
- 18 Mei - George Miok, mwanajeshi wa Kanada
- 20 Mei - Amina Chifupa, mwanasiasa wa Tanzania
- 5 Julai - Ambwene Yessayah, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 29 Julai - Fernando Alonso, dereva wa Formula One kutoka Hispania
- 4 Septemba - Beyoncé, mwimbaji kutoka Marekani
- 14 Septemba - Patrick Garcia, mwigizaji filamu kutoka Ufilipino
- 30 Oktoba - Muna Lee, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Marekani
- 1 Desemba - Khamis Mussa, mwigizaji na mwanamuziki kutoka Tanzania
- 2 Desemba - Britney Spears, mwanamuziki na mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 11 Desemba - Mohamed Zidan, mchezaji mpira kutoka Misri
bila tarehe
- Nonini (au Hubert Nakitare), mwanamuziki kutoka Kenya
- Khalid Mohamed, mwanamuziki wa Bongo Flava kutoka Tanzania
Waliofariki [hariri]
- 5 Januari - Harold Urey (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1934)
- 9 Machi - Max Delbruck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 11 Mei - Odd Hassel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1969
- 11 Mei - Bob Marley, mwanamuziki kutoka Jamaika
- 18 Mei - William Saroyan (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1940, aliyoikataa)
- 8 Septemba - Hideki Yukawa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1949
- 12 Septemba - Eugenio Montale (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1975)
- 22 Novemba - Hans Krebs (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: