Bob Marley
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bob Marley (6 Februari, 1945 – 11 Mei, 1981) alikuwa mwanamuziki wa Jamaika. Jina lake la kuzaliwa ni Robert Nesta Marley. Alikuwa anapiga muziki wa Reggae. Alifuata dini ya WaRastafari na kuangaliwa kama nabii katika dini hiyo.
| Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bob Marley kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |