Ketti Frings

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Faili:Ketti Frings.jpg
Ketti Frings, 1958

Ketti Frings (28 Februari 190911 Februari 1981) alikuwa mwandishi wa kike kutoka nchi ya Marekani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Katherine Hartley. Mwaka wa 1958, alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Tamthiliya kwa tamthiliya yake Look Homeward, Angel.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ketti Frings kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.