15 Mei
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Apr - Mei - Jun | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
- 1921 - Jack Steinberger, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1988
- 1940 - Basil Pesambili Mramba, mwanasiasa wa Tanzania
- 1948 - Brian Eno, mwanamuziki wa Uingereza
- 1981 - Patrice Evra, mchezaji mpira wa Ufaransa
Waliofariki [hariri]
- 884 - Papa Marinus I
- 1976 - Samuel Eliot Morison, mwandishi na mwanahistoria kutoka Marekani
- 2008 - Willis Lamb, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1955