Basil Pesambili Mramba
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Basil Pesambili Mramba (amezaliwa tar. 15 Mei 1940) ni mbunge wa jimbo la Rombo katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia [hariri]
Marejeo [hariri]
- ↑ Mengi kuhusu Basil Pesambili Mramba (1 Februari 2007). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.
| Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |