1936
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | ►
◄◄ | ◄ | 1932 | 1933 | 1934 | 1935 | 1936 | 1937 | 1938 | 1939 | 1940 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1936 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 17 Julai - Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Hispania inaanza mjini Melilla (Afrika ya Kaskazini) kwa uasi wa jeshi
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1936 MCMXXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5696 – 5697 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1928 – 1929 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1385 ԹՎ ՌՅՁԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1355 – 1356 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1314 – 1315 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1991 – 1992 |
| - Shaka Samvat | 1858 – 1859 |
| - Kali Yuga | 5037 – 5038 |
| Kalenda ya Kichina | 4632 – 4633 乙亥 – 丙子 |
- 10 Januari - Robert Wilson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1978)
- 22 Januari - Alan Heeger, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2000
- 27 Januari - Samuel Ting (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1976)
- 22 Februari - Michael Bishop (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1989)
- 9 Mei - Ernest Shonekan, Rais wa Nigeria (1993)
- 17 Mei - Dennis Hopper, msanii wa Marekani
- 8 Juni - Kenneth Wilson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1982)
- 5 Agosti - John Saxon, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 20 Agosti - Hideki Shirakawa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2000
- 26 Septemba - Winnie Madikizela-Mandela, mke wa kwanza wa Nelson Mandela
- 10 Oktoba - Gerhard Ertl (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2007)
- 19 Novemba - Yuan Lee, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1986
Waliofariki [hariri]
- 18 Januari - Rudyard Kipling (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1907)
- 27 Februari - Ivan Pavlov (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1904)
- 28 Februari - Charles Nicolle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1928)
- 8 Aprili - Robert Barany (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1914)
- 15 Agosti - Grazia Deledda (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1926)
- 8 Oktoba - Munshi Premchand, mwandishi kutoka Uhindi
- 10 Desemba - Luigi Pirandello (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1934)
bila tarehe
Wikimedia Commons ina media kuhusu: