1904
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | ►
◄◄ | ◄ | 1900 | 1901 | 1902 | 1903 | 1904 | 1905 | 1906 | 1907 | 1908 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1904 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1904 MCMIV |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5664 – 5665 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1896 – 1897 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1353 ԹՎ ՌՅԾԳ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1322 – 1323 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1282 – 1283 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1959 – 1960 |
| - Shaka Samvat | 1826 – 1827 |
| - Kali Yuga | 5005 – 5006 |
| Kalenda ya Kichina | 4600 – 4601 癸卯 – 甲辰 |
- 2 Machi - Theodor Seuss Geisel (anajulikana hasa kama Dr. Seuss, mwandishi Mmarekani kwa watoto)
- 6 Aprili - Kurt Georg Kiesinger, Chansela wa Ujerumani (1966-1969)
- 6 Mei - Harry Martinson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1974)
- 11 Mei - Salvador Dali, mchoraji kutoka Hispania
- 12 Julai - Pablo Neruda (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1971)
- 14 Julai - Isaac Bashevis Singer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1978)
- 28 Julai - Pavel Cherenkov (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958)
- 7 Agosti - Ralph Bunche (mwanasiasa Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1950)
- 16 Agosti - Wendell Stanley (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1946)
- 20 Agosti - Werner Forssmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1956)
- 21 Agosti - Count Basie, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 3 Oktoba - Charles Pedersen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1987
- 16 Novemba - Nnamdi Azikiwe, Rais wa kwanza wa Nigeria
- 22 Novemba - Louis Neel (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1970)
- 25 Desemba - Gerhard Herzberg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1971
Waliofariki [hariri]
- 13 Aprili - Vasili Vereshchagin, msanii mchoraji kutoka Urusi
- 10 Mei - Henry Morton Stanley, mwandishi wa habari kutoka Welisi na Marekani aliyesafiri hasa Afrika Mashariki
- 15 Julai - Anton Chekhov, mwandishi Mrusi
- 24 Septemba - Niels Ryberg Finsen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1903)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: