1903
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | ►
◄◄ | ◄ | 1899 | 1900 | 1901 | 1902 | 1903 | 1904 | 1905 | 1906 | 1907 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1903 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 4 Agosti - Uchaguzi wa Papa Pius X
- 3 Novemba - Nchi ya Panama inapata uhuru kutoka Kolombia.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1903 MCMIII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5663 – 5664 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1895 – 1896 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1352 ԹՎ ՌՅԾԲ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1321 – 1322 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1281 – 1282 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1958 – 1959 |
| - Shaka Samvat | 1825 – 1826 |
| - Kali Yuga | 5004 – 5005 |
| Kalenda ya Kichina | 4599 – 4600 壬寅 – 癸卯 |
- 11 Januari – Alan Paton, mwandishi wa Afrika Kusini
- 27 Januari - John Eccles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 26 Februari - Giulio Natta (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1963)
- 24 Machi - Adolf Butenandt (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1939)
- 8 Juni - Marguerite Yourcenar, mwandishi na mshairi kutoka Ubelgiji
- 6 Julai - Hugo Theorell (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1955)
- 1 Agosti – Paul Horgan (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1955)
- 19 Agosti – James Gould Cozzens, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1949
- 6 Oktoba - Ernest Walton (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1951)
- 22 Oktoba - George Beadle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958)
- 7 Novemba - Konrad Lorenz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1973)
- 27 Novemba - Lars Onsager, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1968
- 5 Desemba - Cecil Frank Powell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1950
- 10 Desemba - William Plomer, mwandishi wa Afrika Kusini
- 19 Desemba - George Snell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1980
- 22 Desemba - Haldan Hartline, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
Waliofariki [hariri]
- 22 Februari - Hugo Wolf, mtunzi wa opera kutoka Austria
- 20 Julai - Papa Leo XIII
- 1 Novemba - Theodor Mommsen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1902)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: