1894
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1891 1892 1893 - 1894 - 1895 1896 1897 |
[hariri] Matukio
- Buganda inatangazwa kuwa nchi lindwa na Uingereza
[hariri] Waliozaliwa
- 8 Januari - Maximillian Kolbe
- 17 Aprili - Nikita Krushchov, kiongozi wa Umoja wa Kisovyeti 1953-64
- 8 Julai - Pyotr Kapitsa (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1978)
- 14 Oktoba - Edward Cummings, mwandishi kutoka Marekani

