Konrad wa Parzham

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Konrad akitoa msaada.

Konrad wa Parzham O.F.M. Cap. ni jina la kitawa la Yohane Birndorfer (Bad Griesbach, Passau, Ufalme wa Bavaria, leo nchini Ujerumani, 1818 - Altötting, Bavaria, 1894) alikuwa bruda wa shirika la Ndugu Wadogo Wakapuchini na kufanya kwa unyenyekevu mkubwa kazi ya bawabu kwenye patakatifu pa Altötting kwa miaka 40 na zaidi.

Daima mkarimu kwa fukara, hakuacha mhitaji yeyote kuondoka bila kumpa kwanza maneno mazuri ya faraja ya Kikristo[1].

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri mwaka 1930 na mtakatifu mwaka 1934.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Aprili[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • (Kijerumani) Paul H. Schmidt: Klosterpförtner in Altötting. Jestetten 2009. ISBN 978-3-87449-246-1
  • (Kijerumani) Werner Friedenberger (Hrsg.): Bruder Konrad von Parzham. Einer von uns. Begegnung mit einem Heiligen. Passau 2010. ISBN 978-3-9813094-0-9

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.